By Shadrack Nyakoe
Tanzania’s president, Samia Suluhu Hassan has cleared the hospital bill of Tanzania rapper professor Jay.
Professor Jay’s Wife Grace Mgonjo revealed that President Suluhu offered to clear all the hospital bills of the rapper.
“Kwa niaba ya Familia ya Joseph Leonard Haule (Prof. Jay) Tunamshukuru Mungu muweza wa yote kwa kuendelea kuiimarisha Afya ya Prof. Jay siku hadi siku mpaka leo. Kwa Upekee Kabisa Tunamshukuru Rais wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan @samia_suluhu_hassan Kwa kutoa tamko la Serikali yake kugharamia gharama zote za Matibabu ya Joseph Haule (professor Jay ) tunashukuru sana sana na sisi Kama Familia hatuna cha kumlipa bali tunamuombea Kwa Mwenyezi Mungu azidi kumbariki Rais wetu pamoja na Serikali yake 🙏🏽 ,” Mgojo wrote.
She also thanked Tanzanias for standing by Prof Jay’s side through praying for him for the time he was hospitalized.
“Bila kuwasahau wananchi wote wa Tanzania ndani na nje ya Tanzania ambao wamekuwa wakimuombea na kumtakia kila lakheri aweza kurudi Sawa 🙏🏽 Mwisho Tunawashukuru Ndugu, Jamaa, Marafiki na Mashabiki wote wa Profesa Jay kwa kumuombea Jay kila siku bila kuchoka. Mungu awabariki sana hatuna cha kuwalipa.🙏🏽🙏🏽 Tunawashukuru Viongozi mbalimbali wa Dini zote Kwa kujitolea kumuombea sana Joseph bila kuchoka,” She added.
The rapper was undergoing liver dialysis, his liver was damaged and he was also diagnosed with blood pressure.
Professor Jay was discharged from hospital a week ago after 127 days.